RSS
Karibu katika Tovuti ya Habari ya Ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
       
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Nchi za Kiislamu zinapaswa kuimarisha umoja wa Waislamu na kutetea haki zao
2010/03/04 - 16:03
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran Ayatullah Ali Khamenei leo amekutana na viongozi wa serikali na wananchi wa matabaka mbalimbali kwa mnasaba wa kuadhimisha Maulidi ya Mtume wa nuru, uadilifu na rehma Muhammad (saw) na mjukuu wake Imam Ja'far Swadiq (as). Ayatullah Khamenei amesisitiza katika hadhara hiyo kwamba kuzalisha upya hakika na maarifa ya Kiislamu na kutekeleza mafundisho ya Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu ndiyo haja kubwa zaidi ya umma wa Kiislamu. Amesema kuwa umoja na mshikamano wa wafuasi wa madhehebu mbalimbali za Kiislamu ndio wenzo wa kutatua matatizo mbalimbali na sababu ya maendeleo na ustawi wa ulimwengu wa Kiislamu.





Imam Khomeini
Alikuwa Roho ya Allah ambaye kwa kutumia mkono mweupe wa Mussa na maelezo yanayotenganisha haki na batili ya Mustafa, alijifunga kibwebwe kuwaokoa watu wanaodhulumiwa.
Palestina
Suala la Palestina ndilo suala muhimu zaidi na kadhia kuu ya ulimwengu wa Kiislamu
Uhuru wa Kijamii
Uhuru ni sehemu ya maumbile ya mwanadamu, na uhuru wa kijamii katika kamusi ya kisiasa duniani una asili katika Qur'ani.
Wanawake
Hii leo tumeweza kuwa na idadi kubwa ya watu wenye vipawa vya kifikra, kielimu, kimatendo, wanasiasa hodari na wataalamu wa masuala ya utamaduni na sanaa chini ya kivuli cha vazi la hijabu.