RSS
Ayatullah Khamenei asema katika hotuba za Swala ya Ijumaa:
Iran italisaidia taifa lolote litakalosimama kupambana na utawala ghasibu wa Israel
2012/02/03 - 18:21
Sambamba na siku hizi za kuadhimisha mwaka wa 33 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khameni leo amehutubia Swala ya Ijumaa mjini Tehran akitoa uchambuzi kamili kuhusu matunda na mafanikio ya Mapinduzi ya Kiislamu na kuzungumzia masuala muhimu ya ndani, vitisho vya maadui na hali ya kieneo na kimataifa na vilevile uchaguzi ujao wa Bunge la 9 la Iran.
www.leader.ir
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu:



www.leader.ir
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu:

www.leader.ir
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu:

Imam Khomeini
Alikuwa Roho ya Allah ambaye kwa kutumia mkono mweupe wa Mussa na maelezo yanayotenganisha haki na batili ya Mustafa, alijifunga kibwebwe kuwaokoa watu wanaodhulumiwa.
Palestina
Suala la Palestina ndilo suala muhimu zaidi na kadhia kuu ya ulimwengu wa Kiislamu
Uhuru wa Kijamii
Uhuru ni sehemu ya maumbile ya mwanadamu, na uhuru wa kijamii katika kamusi ya kisiasa duniani una asili katika Qur'ani.
Wanawake
Hii leo tumeweza kuwa na idadi kubwa ya watu wenye vipawa vya kifikra, kielimu, kimatendo, wanasiasa hodari na wataalamu wa masuala ya utamaduni na sanaa chini ya kivuli cha vazi la hijabu.